Recent Comments

Sababu zinazofanya filamu za Tanzania zisitoboe kimataifa…(VIDEO)

Msanii wa filamu, Gabo Zigamba ametoa ya moyoni kuhusu mapungufu ambayo yanafanya filamu za Tanzania kutofanya vizuri katika nchi kubwa hasa zile za kimaitafa.
Akizungumza na Ayo TV alisema….‘Pungufu la mwanzo kabisa linatokana na bajeti kuwa ndogo kwahiyo tukianza na bajeti ikiwa ndogo lazima kuna vitu vitatu au vinne vikafanywa na mmoja kwahiyo tayari itakuwa upungufu mwingine kwa maana ya kwamba director anaweza akawa yeye ndo producer‘- Gabo
‘kwahiyo kazi ya watu wawili au kazi ya watu watatu ikafanywa na mtu mmoja upungufu unakuwa mkubwa sana na cinema inakuwa sio nzuri mwisho wa siku haifanyi vizuri kimataifa’- Gabo

Share on Google Plus

About BongoVitimbi

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment